Eng. Y. Bihagaze
JF-Expert Member
- Sep 8, 2011
- 1,488
- 908
'Jaa Pipo'
Nimemsikia naibu Waziri wa Nishati Na Madini , Mhe Kugoma Malima akiongea this time kupitia TBC1, Alipokua akiongea na wana Makambako juu ya kero za TANESCO . Akijibu swali toka Kwa mwananchi mmoja aliyemtaka maelezo kwanini Tanesco wamekuwa wazembe Kwa kutofuta bili za wateja Na kuwapandikizia wateja wake bili Mara Kwa mara..
Waziri huyo mwenye dhamana Na TANESCO nae alitumia mwanya huo kulalamikia Shirika Hilo la umeme, Na kusema " jamani TANESCO, Hili ni Shirika la Uma, ni letu sote Mimi pamoja Na hawa Jaa Pipo ' hivyo msiwe Na Kibri"*
Wadau mnisaidie msamiati huu ambao mweshimiwa amewaita wananchi Jaa Pipo nini maana yake? *Mtusaidie wengine Kiswahili kinatutatiza may be..!!
Nimemsikia naibu Waziri wa Nishati Na Madini , Mhe Kugoma Malima akiongea this time kupitia TBC1, Alipokua akiongea na wana Makambako juu ya kero za TANESCO . Akijibu swali toka Kwa mwananchi mmoja aliyemtaka maelezo kwanini Tanesco wamekuwa wazembe Kwa kutofuta bili za wateja Na kuwapandikizia wateja wake bili Mara Kwa mara..
Waziri huyo mwenye dhamana Na TANESCO nae alitumia mwanya huo kulalamikia Shirika Hilo la umeme, Na kusema " jamani TANESCO, Hili ni Shirika la Uma, ni letu sote Mimi pamoja Na hawa Jaa Pipo ' hivyo msiwe Na Kibri"*
Wadau mnisaidie msamiati huu ambao mweshimiwa amewaita wananchi Jaa Pipo nini maana yake? *Mtusaidie wengine Kiswahili kinatutatiza may be..!!