Habari za Zanzibar
JF-Expert Member
- Dec 18, 2024
- 261
- 199
MHE.GHATI CHOMETE (MB) ATUMA UJUMBE MKOANI MARA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
Wanawake na wananchi wa Mkoa wa Mara, Mimi Mwakilishi wenu ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ninaungana na Viongozi, Asasi, Taasisi, Mashirika, Makampuni na Makundi yote Nchini Tanzania tukiongozwa na Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan Rais wa Kwanza Mwanamke katika Ukanda wa Afrika Mashariki kuwatakieni Kheri katika kusherekea siku hii muhimu kuhusu nafasi ya Mwanamke katika Jamii.
Kupitia Kauli Mbiu ya Mwaka huu "Haki na usawa kwa Mwanamke na Msichana, Misingi Jumuishi kufikia Dira 2050"
Happy International Women's Day
Mhe.Ghati Chomete (Mb),
Viti Maalum Mkoa- Mara,
Dodoma- Tanzania,
Machi 08, 2026.
Wanawake na wananchi wa Mkoa wa Mara, Mimi Mwakilishi wenu ndani ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ninaungana na Viongozi, Asasi, Taasisi, Mashirika, Makampuni na Makundi yote Nchini Tanzania tukiongozwa na Mhe. Dkt.Samia Suluhu Hassan Rais wa Kwanza Mwanamke katika Ukanda wa Afrika Mashariki kuwatakieni Kheri katika kusherekea siku hii muhimu kuhusu nafasi ya Mwanamke katika Jamii.
Kupitia Kauli Mbiu ya Mwaka huu "Haki na usawa kwa Mwanamke na Msichana, Misingi Jumuishi kufikia Dira 2050"
Happy International Women's Day
Mhe.Ghati Chomete (Mb),
Viti Maalum Mkoa- Mara,
Dodoma- Tanzania,
Machi 08, 2026.