Mh!Yanakaribia kunishinda.

Mh!Yanakaribia kunishinda.

The principal

Member
Joined
Feb 25, 2012
Posts
8
Reaction score
0
Dear frends humu ndani mwenzenu nimeombwa ushauri wa jambo la ajabu ,tena lakunishangaza,kwa jinsi nilivyokuzwa nimezoea kuona heshima katika ndoa,leo mama mmoja ata sijamtegemea ameniambia kuwa ana ex boyfrend ambaye alichezea hisia zake uko nyuma na kumfanya avunje mahusiano aliokua nayo iliwarudiane nae lakini boy huyu alimuumiza tena na hakumuoa,sasa boy amerudi na kauli mpya na mdau yupo kwenye ndoa hajui afanyeje,mumewe ni mtu wa heshima na anampenda yeye na watoto haoni kosa hata akimtafutia,namshaurije?:disapointed:
 
Sio kila wakati anapaswa kuusikiliza moyo wake, wakati mwingine anapaswa kuusaliti moyo na kufuata akili yake.
 
uyo atumie akili na a behave kama mtu mzima mwambie aache utoto aangalia familia yake na mme wake.
mwambie aache upumbavu
 
wewe inakuhusu vipi?
why akubebeshe mzigo wa ushauri?
yeye hawezi amua mwenyewe?
 
hata mi nashangaaa inamuhusu nini...itakua yeye ndo muhusika
 
Back
Top Bottom