Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 1,008
- 1,967
Mh waziri ni wazi unaongoza wizara muhimu Sana nakuomba pambana sana kuhakikisha kua haki inatawala ktk idara zako zote ili watanzania wawe na amani na tuzidi kudumisha upendo
Ndiyo umeshamaliza mkuu? Bila shaka amekusikia.Mh waziri ni wazi unaongoza wizara muhimu Sana nakuomba pambana sana kuhakikisha kua haki inatawala ktk idara zako zote ili watanzania wawe na amani na tuzidi kudumisha upendo
Hivi Bakari Mchengerwa ni waziri wa nchi gani? Au unamaanisha Mohamed Mchengerwa?Mh waziri ni wazi unaongoza wizara muhimu Sana nakuomba pambana sana kuhakikisha kua haki inatawala ktk idara zako zote ili watanzania wawe na amani na tuzidi kudumisha upendo