BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,760
- 3,270
Jimbo la Ukonga limeathirika sana na Mvua zinazoendelea.
Mbunge wetu hajafika kuona adha zetu.
Ulituaminisha kuwa ulikoenda ndio kuna utatuzi wa kero zetu za Barabara kumbe ulijari Maslahi yako.
Serikali Sikivu imegeuka kuwa serikali kiziwi! Mtavuna mnachokipanda karibuni malipo ni hapahapa Duniani.
Huku Maeneo ya Mwanagati,Magore,kivule,Mkolemba ukiwa na Mgonjwa anayehitaji Matibabu katika Hospitali za rufaa maisha yake yanakuwa hatarini kwasababu Barabara zote Zimejaa Mashimo Makubwa!
Hela zilizotumika Kukununua Ukahama Chama na kupata Uwaziri kwa kurudia uchaguzi zingetosha Kuziba haya Mashimo japo kwa Kifusi.
Mchezo wa Wanasiasa ni Mauti ya wananchi!
Mbunge wetu hajafika kuona adha zetu.
Ulituaminisha kuwa ulikoenda ndio kuna utatuzi wa kero zetu za Barabara kumbe ulijari Maslahi yako.
Serikali Sikivu imegeuka kuwa serikali kiziwi! Mtavuna mnachokipanda karibuni malipo ni hapahapa Duniani.
Huku Maeneo ya Mwanagati,Magore,kivule,Mkolemba ukiwa na Mgonjwa anayehitaji Matibabu katika Hospitali za rufaa maisha yake yanakuwa hatarini kwasababu Barabara zote Zimejaa Mashimo Makubwa!
Hela zilizotumika Kukununua Ukahama Chama na kupata Uwaziri kwa kurudia uchaguzi zingetosha Kuziba haya Mashimo japo kwa Kifusi.
Mchezo wa Wanasiasa ni Mauti ya wananchi!