SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,841
- 1,843
Baada ya ndugu Mrema kupewa uenyekiti wa bodi ya parole (sijui Kiswahili chake ni nini) na huku ikionekana nafasi zinaanza kuisha kuna ndugu mmoja anakumbushia ahadi uliyompa ya kwamba ukipata urais utahakikisha unambeba kwelikweli.
Ndugu ANTONY DIALO vipi hukumbiki ahadi uliyompa pale mwanza wakati wa kampeni??
kama umesahau, nakukumbusha kwasababu ndo staili zenu hizi CCM, kuahidiana vyeo na deal mbalimbali.
Ndugu ANTONY DIALO vipi hukumbiki ahadi uliyompa pale mwanza wakati wa kampeni??
kama umesahau, nakukumbusha kwasababu ndo staili zenu hizi CCM, kuahidiana vyeo na deal mbalimbali.