nimezihesabu hazizidi 10, unaita rundo lol! wavurugwaji ni wengi nji hii
Wingi unaanzia mbili yuko sahihi
Pole sana kijana. CCM mbele kwa mbele, tunakwapua malundo kwa malundo. Nyie endeleeni kutoana moyo na kashfa za Richmond wa Lowassa.Mnaulizaga mbona mpya vipi hizo ni za zamani? Hayo ndiyo marundo? Hazifiki hata 10
Pole sana kijana wa Lowassa. Hii ndio raha ya CCM, tunakwapua malundo kwa malundo kila sehemu huku nyie mkiendelea na zawadi hewa za Lowassa.nimezihesabu hazizidi 10, unaita rundo lol! wavurugwaji ni wengi nji hii
Pole sana kijana wa Lowassa. CCM inaendelea kukwapua malundo kwa malundo ya Chadema huku nyie mkila ahadi hewa za lowassa.nimezihesabu hazizidi 10, unaita rundo lol! wavurugwaji ni wengi nji hii
Huyo jamaa amepatwa na mshtuko mara mbili. Maana Dr. Slaa amesha wapandisha mapigo ya moyo.Wingi unaanzia mbili yuko sahihi
Huyo jamaa amepatwa na mshtuko mara mbili. Maana Dr. Slaa amesha wapandisha mapigo ya moyo.
![]()
![]()
Mama Samia Suluhu Hassan akiwa na kadi za Wanachama wa Chadema waliomkabidhi baada ya kutangaza kuhamia CCM, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Mazaejimbo la Mpwapwa mkoani Dodoma leo.
![]()
![]()
Mama Samia Suluhu Hassan akiwa na kadi za Wanachama wa Chadema waliomkabidhi baada ya kutangaza kuhamia CCM, wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Mazaejimbo la Mpwapwa mkoani Dodoma leo.
Yaap, she is breaking ukawa in its entirety, big time.Mnaulizaga mbona mpya vipi hizo ni za zamani? Hayo ndiyo marundo? Hazifiki hata 10
Kadi mbona mpya? Sasa CCM wamekosa mbinu ya kukabiliana na gharika la UKAWA.marundo yapo wapi? mi naona kadi hata kumi hazifiki tena zote zinafanana mpyaa kama vile wenye kadi walijiunga na chama jana tena kwa wakati mmoja