Speaker JF-Expert Member Aug 12, 2010 6,324 2,238 Mar 12, 2011 #1 Naombeni kufaham kuhusu makamu wa mwenyekiti wa chadema, Mara ya mwisho nimesikia kuhusu yeye alikua ana pelekwa India kwa matibabu! Bado yuko india au hali yake inaendeleaje?
Naombeni kufaham kuhusu makamu wa mwenyekiti wa chadema, Mara ya mwisho nimesikia kuhusu yeye alikua ana pelekwa India kwa matibabu! Bado yuko india au hali yake inaendeleaje?
Dr wa ukweli JF-Expert Member Feb 28, 2011 900 264 Mar 12, 2011 #2 Sijamsikia, au kashapata dawa kwa babu
Democrasia Member Feb 1, 2008 79 3 Mar 12, 2011 #3 Dr wa ukweli said: Sijamsikia, au kashapata dawa kwa babu Click to expand... mbona jana kwenye taarifa ya habari saa 2 ITV alikuwa akiongelea bara bara za mpanda na wabunge wenzake?
Dr wa ukweli said: Sijamsikia, au kashapata dawa kwa babu Click to expand... mbona jana kwenye taarifa ya habari saa 2 ITV alikuwa akiongelea bara bara za mpanda na wabunge wenzake?
S SG8 JF-Expert Member Dec 12, 2009 3,955 2,125 Mar 12, 2011 #5 Democrasia said: mbona jana kwenye taarifa ya habari saa 2 ITV alikuwa akiongelea bara bara za mpanda na wabunge wenzake? Click to expand... Hata mimi nilimuona. Nadhani amepona
Democrasia said: mbona jana kwenye taarifa ya habari saa 2 ITV alikuwa akiongelea bara bara za mpanda na wabunge wenzake? Click to expand... Hata mimi nilimuona. Nadhani amepona