Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,149
Leo jionii nikiwa nakulaa nilipatwa choo cha gafla wakati naangalia ITV
Kivipi n pale nilipoona wafanyakaz wa gazeti la Uhuru la serikali wakitamka mbele ya Rais mishahara aijalipwa sihiloo tu NA PESA za NSSF AZIJALIPWA
aikuishià hapoo waliostaafu amakuacha miaka ya nyuma awajalipwa wengi pesazaoo
Kwahili la NSSF naomba niweke wazi MH Rais unamajukumu mengiyakufanya lakini hilii lamichango n sumu...
Mashirika yaumaa mengi ayalipi PESA za NSSF AMA ppf jaribu kufwatilia
Cha ajabu wanakata PESA kwenemshahara swalilanguu in he hizo PESA zinaenda wapii....
Niliwahifanyakazi kampuni moja wakati naondoka tukakutà miaka minne wengine sits awajawekewa PESA NSSF zao NA waliweka wakati walipotumiwà barua ya mahakama kutaka walipe...NA zililipwa ndani wiki mamiilion
M nashauriii vyema mkafwatilia sana hill kuondka laana za wafanyakazi imagine hiili n gazeti la serikali....
Nirudi kwa NSSF pale NSSF KUNA WATU wako special kwa ajili ya mashirika wao wakiamka wanajua wanadiili NA Jf no..sasa kama waaliodili nauhuru kwanini awakupeleka info kwabosi zao awajalipa.sheria ichukue mkondowake
Nakama wamemjulisha bosi kwann asishrakiwe NA kuondolewa kama amekaa kimya huku akijua wafanyakazi wa Uhuru awajalipiwa PESA za NSSF??wahuska wote wawe responsible.....
Polen NA kila la kheri
Kivipi n pale nilipoona wafanyakaz wa gazeti la Uhuru la serikali wakitamka mbele ya Rais mishahara aijalipwa sihiloo tu NA PESA za NSSF AZIJALIPWA
aikuishià hapoo waliostaafu amakuacha miaka ya nyuma awajalipwa wengi pesazaoo
Kwahili la NSSF naomba niweke wazi MH Rais unamajukumu mengiyakufanya lakini hilii lamichango n sumu...
Mashirika yaumaa mengi ayalipi PESA za NSSF AMA ppf jaribu kufwatilia
Cha ajabu wanakata PESA kwenemshahara swalilanguu in he hizo PESA zinaenda wapii....
Niliwahifanyakazi kampuni moja wakati naondoka tukakutà miaka minne wengine sits awajawekewa PESA NSSF zao NA waliweka wakati walipotumiwà barua ya mahakama kutaka walipe...NA zililipwa ndani wiki mamiilion
M nashauriii vyema mkafwatilia sana hill kuondka laana za wafanyakazi imagine hiili n gazeti la serikali....
Nirudi kwa NSSF pale NSSF KUNA WATU wako special kwa ajili ya mashirika wao wakiamka wanajua wanadiili NA Jf no..sasa kama waaliodili nauhuru kwanini awakupeleka info kwabosi zao awajalipa.sheria ichukue mkondowake
Nakama wamemjulisha bosi kwann asishrakiwe NA kuondolewa kama amekaa kimya huku akijua wafanyakazi wa Uhuru awajalipiwa PESA za NSSF??wahuska wote wawe responsible.....
Polen NA kila la kheri