Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo, Joseph Ole Lenku wamejiuzulu kufuatia matukio mbalimbali ya kigaidi likiwemo la leo kuuawa wachimba kokoto 36
Source ..RADIO1 STEREO!!
Nafikiri ungelimuliza JK kama kaliona hilo .......................... Pinda unamuonea bure!!
Nafikiri ungelimuliza JK kama kaliona hilo .......................... Pinda unamuonea bure!!
Angemuuliza Muhongo na Werema.
huo ndo uwajibikaji unaotakiwa sio porojo za Lizaboni, MSALANI, Simiyu Yetu, mjepo, gsu and co. sio lazima ufanye wewe, suala ni nini kimetokea pahala pako pa kazi. hizi ndo siasa; Secret Service Director Julia Pierson resigns - CNN.comMkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo, Joseph Ole Lenku wamejiuzulu kufuatia matukio mbalimbali ya kigaidi likiwemo la leo kuuawa wachimba kokoto 36
Source ..RADIO1 STEREO!!
huondo uwajibikaji unaotakiwa sio porojo za Lizaboni, MSALANI, Simiyu Yetu, mjepo, gsu and co. sio lazima ufanye wewe, suala ni nini kimetokea pahala pako pa kazi. hizi ndo siasa; Secret Service Director Julia Pierson resigns - CNN.com
unatumia kiungo gani kufikiria? bora ungeanzisha thread yako. maana angejiuzulu uhuru kinyatta ungecompare na Kikwete. hizi akili za vinyesi ni shida sana.Nafikiri ungelimuliza JK kama kaliona hilo .......................... Pinda unamuonea bure!!
Pinda akijiuzulu, chura atasema!Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo na Waziri wa Mambo ya Ndani wa nchi hiyo, Joseph Ole Lenku wamejiuzulu kufuatia matukio mbalimbali ya kigaidi likiwemo la leo kuuawa wachimba kokoto 36
Source ..RADIO1 STEREO!!
Kujiuzulu kwa Pinda! Kungelisaidia kuwakamata wezi wetu mapema..
Sio muhongo ni muongo
unatumia kiungo gani kufikiria? bora ungeanzisha thread yako. maana angejiuzulu uhuru kinyatta ungecompare na Kikwete. hizi akili za vinyesi ni shida sana.