Mh. Pinda A Town

Mh. Pinda A Town

LESIRIAMU

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2008
Posts
9,197
Reaction score
14,902
Mitaa ya Arusha Technical umepita msafara wa Vx za kutosha. Tujuzane mtoto wa mkulima anakimbilia wapi?
 
Ok! Uko sawa, kaenda kutoa pole kule halmashauri inapochukua ushuru bila kuchukua tahadhari za maisha ya watu??? Nimekuelewa mkuu.
 
Kaja kuangalia kazi ya kufukua inaendaje,baada ya hapo awachukue tarehe 8 wakapige mpunga ikulu.,,,,cheers.
 
Na hapa RPC atamkamata nani kama sio mkurugenzi anaekusanya ushuru huko migodini?
 
AMEKWENDA KUWAHI VITALU VYA Nyagga Mawalla
 
Miviongozi ya bongo inapenda majanga na misiba ili iuze sura, inakera sana, hata siku moja hutayasikia yakiongelea usalama mahala pa kazi, ngoja janga litokee matamko ndio yanaanza. Muogopeni Mungu viongozi wa bongo.
 
Hivi msafara kama huo wa kutoa pole na matamko unagharimu kiasi gani? maana ninakosa maana ya kuwa na wakuu wa mikoa, sisi ni masikini lazima tuwe tunajiuliza na hayo jamani.
 
Back
Top Bottom