Mh Ndugai jana aliongea vizuri sana

Mh Ndugai jana aliongea vizuri sana

TumainiEl

Platinum Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
7,266
Reaction score
14,274
Jaman mnyonge mnyongen ila haki yake mpeni, jana mh Ndugai aliongea very postive nakuwakata midomo wa ropokaji bungeni. Kuheshimiana ni jambo zuri sana. Naalipo uwa zaidi nipale aliposema watu wamepewa fursa zakuwa wa bunge ila sio kwamba ndio wanafaa sana nakujisahau nakuwatukana wengine! Kwakweli i wish kama Kunagazeti litaandika yote aliandika ni big subject to all Tanzanian.
 
Jaman mnyonge mnyongen ila haki yake mpeni, jana mh Ndugai aliongea very postive nakuwakata midomo wa ropokaji bungeni. Kuheshimiana ni jambo zuri sana. Naalipo uwa zaidi nipale aliposema watu wamepewa fursa zakuwa wa bunge ila sio kwamba ndio wanafaa sana nakujisahau nakuwatukana wengine! Kwakweli i wish kama Kunagazeti litaandika yote aliandika ni big subject to all Tanzanian.

CC; Juma Nkamia
 
Kwa hiyo ni jana tu ndio aliongea point !
... basi alibahatisha.
Ndugai ni mmoja kati ya wabunge ambao hawapo kwa ajili ya wananchi bali kwa ajili ya vibaraka wachache.
 
Kwa sasa hili taifa limepoteza hazina ya wabunge wenye busara, wamebaki wachache kama ******, lukuvi, mama ana abdala na mama sofia simba.
 
Kwa sasa hili taifa limepoteza hazina ya wabunge wenye busara, wamebaki wachache kama ******, lukuvi, mama ana abdala na mama sofia simba.

Una akili kama za Sophia Simba zile Ambazo Kubenea alizisema katika Gazeti la Mwanahalisi.
 
Una akili kama za Sophia Simba zile Ambazo Kubenea alizisema katika Gazeti la Mwanahalisi.

Sikulisoma hilo gazeti alisema ana akili gan?

Mwanahlisi has never been my favorite paper. Kama nmesoma ni km mara nne hivi toka litoke na lifungiwe
 
Nafikiri hicho kichwa chako ni sawa na kitumbua ambacho hakna mafuta.huwezi sema ******* aliongea vizuri
 
Kaongea nini wakati mwenyewe ana majibu ya hovyo...watu hawamheshimu kwa ajili ya unazi wake na maneno yake ya kejeli...
 
Kwa sasa hili taifa limepoteza hazina ya wabunge wenye busara, wamebaki wachache kama ******, lukuvi, mama ana abdala na mama sofia simba.

Duh...! ndo umefikia hapo!? Ni mtazamo wako lakini, naheshimu uhuru wako wa kutoa mawazo.
 
Aaaghhherrr anaeongea vizuri ni yule anaetongoza. Sasa kama kila kitu kipo kwenye vitabu utasemaje kaongea vizuri????
 
alisema wabunge wanaonge hovyo kwasababu kuna magazeti na "mamitandao" yanaandika kuwa hao wabunge nu mashujaa!
 
Jaman mnyonge mnyongen ila haki yake mpeni, jana mh Ndugai aliongea very postive nakuwakata midomo wa ropokaji bungeni. Kuheshimiana ni jambo zuri sana. Naalipo uwa zaidi nipale aliposema watu wamepewa fursa zakuwa wa bunge ila sio kwamba ndio wanafaa sana nakujisahau nakuwatukana wengine! Kwakweli i wish kama Kunagazeti litaandika yote aliandika ni big subject to all Tanzanian.

Aaa.....lile ----- halijui kuendesha bunge...basi kama ndo hivyo jana ndo siku pekee aliyoongea point maishani mwake...
 
Kwa sasa hili taifa limepoteza hazina ya wabunge wenye busara, wamebaki wachache kama ******, lukuvi, mama ana abdala na mama sofia simba.

Hata mie naona kweli mkuu wewe pia una akili kama za Sophia simba na mama Anna abdalah hongera sana

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
subiri mwezi uwe gizani, utarudi hapa na thread nyingine kumlaani.
 
Kwa sasa hili taifa limepoteza hazina ya wabunge wenye busara, wamebaki wachache kama ******, lukuvi, mama ana abdala na mama sofia simba.
Kama hao wachovu wewe unaona ndo wabunge wamaana uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana wewe ni wakuhongwa pilau na kofia tu.
 
Kwa sasa hili taifa limepoteza hazina ya wabunge wenye busara, wamebaki wachache kama ******, lukuvi, mama ana abdala na mama sofia simba.

Mmmmhhhh!!!!wonders shall never cease, it only happens in Tanzania kwa hisani ya watu wa Marekani.
 
Back
Top Bottom