GunzInTheAir
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 301
- 21
Mh leo alikua na mkutano na wanakijiji wa kijiji chaMbuguni,kafanya maamuzi magumu kwa kuwarudishia wanakijiji soko lao ambalo lilikua limetaifishwa na wajinga wachache akiwemo diwani na Katibu Tarafa.
Wananchi wameimba sana wanataka soko lao wakiongozwa na mh Mbunge.
hiyo ndio maana ya mzalendo kujali maendeleo yako na yawenzakoUdogo wa Nasari ni mwili na umri lakini kichwa kinafanya kazi kile na kaenda shule dogo sio kama Mwigulu na Mulugo wanaosafiria nyota za watu wengine wamechakachua vyeti
Mh leo alikua na mkutano na wanakijiji wa kijiji chaMbuguni,kafanya maamuzi magumu kwa kuwarudishia wanakijiji soko lao ambalo lilikua limetaifishwa na wajinga wachache akiwemo diwani na Katibu Tarafa.
Wananchi wameimba sana wanataka soko lao wakiongozwa na mh Mbunge.
Diwani wa Mbuguni ni yule anajiita askofu mwenye Palson Hotel...
Aliewahi kumiliki timu ya mpira wa miguu, na toyota Dyna Clippers nyigni tu enzi zake. Aliewahi kumwaga hela kwa dirishani watu wazipiganie.
we utakua ndugu yake nape kwa jinsi unavyofikilia kwa kutumia masaburi
UMEVURUGWA:majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7::majani7: