Mh. Magufuli tutaomba maelezo juu ya kivuko

Mh. Magufuli tutaomba maelezo juu ya kivuko

The Wolf

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
9,454
Reaction score
20,857
Kwa kweli haileti maana kutununulia kivuko chakavu cha mwaka 1978 kwa bei ya kivuko cha mwaka 2015, bilioni 8 kivuko hakieleweki na kinajiendesha kwa hasara tupu.

Tutahoji zaidi utapokuja kwenye kampeni
 
Kwa kweli haileti maana kutununulia kivuko chakavu cha mwaka 1978 kwa bei ya kivuko cha mwaka 2015, bilioni 8 kivuko hakieleweki na kinajiendesha kwa hasara tupu.

Tutahoji zaidi utapokuja kwenye kampeni

Ndiyo MSAFI huyo.Usisahau zile pesa zilizolipa makandarasi hewa kiasincha kama Bilioni258,n pia muulizie zile nyumba za serikalo yeye alijiuzia shilingi ngapi?Na zile nyumba ndogo zake je???Halafu lile guorofa mitaa ya kati aliyomjengea kidosho chake alipata wapi mshiko???

Akitufafanulia hayo tukaridhika aje achukue kura yangu.La akapoge mbizi tu.
 
ni wazo langu tu mv dar bilioni nane kivuko kizee masaa sita bagamoyo azam bilion 6 kitu kipya zanzibar saa moja
 
Yaani Huyo ndiye msafi kati ya wote! Ukisikia ya wengine unaweza kuzimia!

Makomeo itabidi atwambie uhalisia wa hicho kivuko vinginevyo utakuwa ni msalaba mkubwa sana kwake kuelekea uchaguzi
 
Wewe unataka jibu la nini,sasavhivi wapo bwagamoyo kamati ya ufundi.ukiwapa nafasi ya kuwasikiliza umeumia labda na wewe uwende kwa kalumanzila.
 
makomeo hana shida na kura zenu kushinda.Jeshi la wananchi litamsaidia kushinda
 
Naomba kusema hakuna ukweli juu ya hilo.me.mi mpandaji wa kivuko hiko na ni sahihi kabisa kwamba kivuko hiko.ni kizuri na kinafaa kwa matumizi ya wasafiri unasema tu ili kutaka kumchafua ila kwa kweli hakuna mchaoakazi kama.mheshimiw
 
Back
Top Bottom