Chuck j
JF-Expert Member
- Jun 17, 2011
- 2,358
- 815
ninafikiri ni mwaka wa tatu tangu serikali yetu ikabidhiwe barabara ya singida manyoni to igunga,ziba,Nzega mkoani Tabora,katikati ya Sngida na igunga kuna mlima matata unaitwa SEKENKE''hAPO KUNA MAHANDAKI YAkufa mtu'barabar imechimbika sana,inakuwaje kwenye mlima kunakuwa na mashimo hivyo?au hawakijenga katika kiwango? Magari yanaanguka sana sababu ya mashimo,.Mh jitahhidi tusizidi kupoteza ndugu zetu,barabar ifanyiwe ukarabati mkubwa'mifereji ni michafu na imejaa mawe na vifusiKU