Katoa barua iliyoandikwa kwenda kwa viongozi wa serikali na CCM ya kuthibitisha wajumbe walioshinda ambao si wanachama wa ssm katika ujumbe wa mabaraza ya katiba waondolewe
Wabunge wa ccm wameduwazwa na ushahidi wa lissu juu ya uchakachuliwaji wa wajumbe wa mabaraza ya katiba.PIA TUKUMBUKE JANA ITV WALIONYESHA JINSI UKIUKWAJI HUO ULIVYOFANYIKA
Wabunge wa ccm wameduwazwa na ushahidi wa lissu juu ya uchakachuliwaji wa wajumbe wa mabaraza ya katiba.PIA TUKUMBUKE JANA ITV WALIONYESHA JINSI UKIUKWAJI HUO ULIVYOFANYIKA
Katoa barua iliyoandikwa kwenda kwa viongozi wa serikali na CCM ya kuthibitisha wajumbe walioshinda ambao si wanachama wa ssm katika ujumbe wa mabaraza ya katiba waondolewe
Kama povu lililomtoka blahiAsante mkuu, Big up CDM kila kitu na evidence!! Mapovu yatawatoka hadi 2015 hata ya damu kabisa.
No! Do not Serukamba any body as people might not notice the difference. Play it cool.Sijui nami niwaserukambe hawa ccm!pumbavu zao!
Mimi mwenyewe ni kakaangu ambaye ni Ccm kaniambia kuwa wamepewa muongozo huwo wahakikishe wanaochaguliwa wawe ccm.nayeye kachagulwa kwajia hiyo[/QUOTE
Nimwemsikia Antony Diallo hapa ITV anaongea na wana CCM Mwanza kawambia hivi" Mkiona wenzetu wa CDM wanalalamika kwenye uchaguzi wa mabaraza ya katiba mjue(nyie CCM) kwamba mmefanikiwa sana" Hii ilikuwa live kwenye ITV. Sasa read between the lines. Kwa hiyo zoezi la Katiba mpya lilishanajisiwa na CCM tangu zamani, kupata katiba ya maana pengine itakuwa ni Kiburi cha Warioba tu
Mie pia nimemwona nikamshangaa sana. Jamani, naogopa tunakoelekea.Mimi mwenyewe ni kakaangu ambaye ni Ccm kaniambia kuwa wamepewa muongozo huwo wahakikishe wanaochaguliwa wawe ccm.nayeye kachagulwa kwajia hiyo[/QUOTE
Nimwemsikia Antony Diallo hapa ITV anaongea na wana CCM Mwanza kawambia hivi" Mkiona wenzetu wa CDM wanalalamika kwenye uchaguzi wa mabaraza ya katiba mjue(nyie CCM) kwamba mmefanikiwa sana" Hii ilikuwa live kwenye ITV. Sasa read between the lines. Kwa hiyo zoezi la Katiba mpya lilishanajisiwa na CCM tangu zamani, kupata katiba ya maana pengine itakuwa ni Kiburi cha Warioba tu
Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums