Makamee
JF-Expert Member
- Nov 29, 2013
- 2,029
- 1,201
Baada ya sakata la Richmond lililopelekea waziri mkuu Edward Lowasa kujiuzuru,mambo kadhaa yalimuandama Dk. Mwakyembe ambaye alikua mwenyekiti ktk uchunguzi wa kashfa ya Richmond.
1.May 2009 alipata ajali mbaya ya gari mkoani Iringa,Wachunguzi wa mambo walidai ilikua ajali ya kutengenezwa.
2.October 2011 alipata ugonjwa wa ajabu wa kubabuka ngozi ya mwili na kutoa unga, Wachunguzi wa mambo walidai alipewa sumu imuondoe taratibu.
3.Alifanikiwa kuingia ktk baraza la mawaziri,Wachunguzi wa mambo walidai umahiri wake wa kuendesha tume ya richmond ulimsaidia kua waziri ingawa kuna mambo kadhaa mazito aliyoyasema ni vigumu kuyaweka hadharani.
Swali kwake Mh James Lembeli:
1.Kwakua repoti ya kamati yake imeangusha mawaziri wanne,
2.Kwakua amegusa maslahi ya baadhi ya watendaji,
3.Kwakua kuna nafasi za wazi za kupata kuingia ktk baraza la mawaziri.
JE AMEJIPANGAJE?
1.May 2009 alipata ajali mbaya ya gari mkoani Iringa,Wachunguzi wa mambo walidai ilikua ajali ya kutengenezwa.
2.October 2011 alipata ugonjwa wa ajabu wa kubabuka ngozi ya mwili na kutoa unga, Wachunguzi wa mambo walidai alipewa sumu imuondoe taratibu.
3.Alifanikiwa kuingia ktk baraza la mawaziri,Wachunguzi wa mambo walidai umahiri wake wa kuendesha tume ya richmond ulimsaidia kua waziri ingawa kuna mambo kadhaa mazito aliyoyasema ni vigumu kuyaweka hadharani.
Swali kwake Mh James Lembeli:
1.Kwakua repoti ya kamati yake imeangusha mawaziri wanne,
2.Kwakua amegusa maslahi ya baadhi ya watendaji,
3.Kwakua kuna nafasi za wazi za kupata kuingia ktk baraza la mawaziri.
JE AMEJIPANGAJE?