Kuna taarifa za kiuchumi zinadai watali wamepungua kuja arusha. Chanzo ni vurugu za mara kwa mara ktk jimbo la arusha mjini. Mh.lema ni vyema ukajiuliza kwa nini kwenye majimbo yakina mbowe etc hkn vuruguru maandamao.lema vijana wengi wa arusha wanakosa ajili za utali,amani haupo kwa wananchi wako. Jiuleze y ni arusha tu co hai moshi karatu rombo mbeya kigoma arumeru musoma. Mwanza kwa sasa wenje akili imerudi immerudi katulia sasa. Lema litazame hl chadema wanakutumia bila kujua mwisho wa siku wananchi wako hawafanyi kazi,amani hkn,vifo, ajila za utali zimepungua sana kwa vijana. Lema kuwa mbunge wa amani sasa wajenge wananchi wako.