Mh. Joseph Mbilinyi

Mh. Joseph Mbilinyi

fiter

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2013
Posts
1,144
Reaction score
79
nlipenda sana mchango wake jana japo alionekana kama ana rap hasa aliposema mkulu anatisha watu kua kukiwa na serikali 3 jeshi linaweza kupindua nchi ndo akasema wanajesh ni rfk zetu ndugu zetu hata tunakua nao club au mbona hata mkulu mwenyewe ni mjeda au komba ila walivua gwanda...ndo akasema tusitishane kama raia wamekubali rerikali 3 ipitishwe ili badae tusije kuzinguana
 
Ona naye huyu eti The Intelligent?

Haaaa haaa !! Wengine wanashindwa kukaa kimya , mi alia ha hoi aliposema, hata mgonjwa anapimwa damu kidogo tu , hatuchukui dumu la lita tano , ili tujue mtu ana malaria au ukimwi ,,,,
 
Haaaa haaa !! Wengine wanashindwa kukaa kimya , mi alia ha hoi aliposema, hata mgonjwa anapimwa damu kidogo tu , hatuchukui dumu la lita tano , ili tujue mtu ana malaria au ukimwi ,,,,

yap jamaa ni kichwa japo hana elimu kubwa hapo anagusia SAMPLING hata mm nliipenda hyo...
 
Yaani hii output ndio mchizi anavuta kilo 3 kwa siku, na wewe unamuona kichwa?? si bora angekaa kimya ndio katiba mpya itaandikwa hivi??
yap jamaa ni kichwa japo hana elimu kubwa hapo anagusia SAMPLING hata mm nliipenda hyo...
 
sugu ni chizi..laana ya kumtelekeza mke wake na mtoto inamtafuna
 
Haaaa haaa !! Wengine wanashindwa kukaa kimya , mi alia ha hoi aliposema, hata mgonjwa anapimwa damu kidogo tu , hatuchukui dumu la lita tano , ili tujue mtu ana malaria au ukimwi ,,,,
Haha haaa hakusema ukimwi bali ngoma.
 
Sugu akizungumza bungeni utapenda, siku moja alisema TISS badala ya kufanya vitu vya maana kazi yao ni kungoa kucha na meno
 
Haaaa haaa !! Wengine wanashindwa kukaa kimya , mi alia ha hoi aliposema, hata mgonjwa anapimwa damu kidogo tu , hatuchukui dumu la lita tano , ili tujue mtu ana malaria au ukimwi ,,,,
Hii hata mimi ilinikosha sana
 
Wengine Humu Ndani Wanachuki binafsi,

Call spade a spade and not a big spoon,
Sugu Alinikosha
 
Yaani hii output ndio mchizi anavuta kilo 3 kwa siku, na wewe unamuona kichwa?? si bora angekaa kimya ndio katiba mpya itaandikwa hivi??

hivi nini output ya kikwete pale magogoni kwa miaka yote minane?
 
Back
Top Bottom