MH Joseph Mbilinyi Message from facebook.....

Huyo Kijana hana jina?? Gamba @ work,serikali hii itapata kichapo hapa hapa duniani + wachumia tumbo wote wa mabwepande!

Kweli kabisa tukipata jina tufuatilie maana Ulimboka yupo na Serikali inayoshutumiwa ipo lakini kwa upande wa pili kuna Heche na kijana wa chuo kikuu ambae jina halijulikani
 
Sugu ni Rais wa Mbeya anayebisha aende Mbeya leo akaulize,Mbeya inakuwa Dubai kama mchezo vile...kudadadeki!!
 
2015 anarudi mtaani huyo, ubunge ndio asahau kabisa. Bangi na siasa wapi na wapi.

nenda Mbeya katamke maneno aya,wakupige nondo..jamaa anakimbiza Mbeya si mchezo,Mbeya inakuwa New york.
 
2015 anarudi mtaani huyo, ubunge ndio asahau kabisa. Bangi na siasa wapi na wapi.

Hata Bob Marley alikuwa mvuta bangi lakini kichwa.Nimemsema huyu kwa vile yeye hakujificha lakini wapo wengi wa namna hiyo hata wewe unawajua
 


...James Hadley Chase did say: BELIEVE THIS AND YOU WILL BELIEVE ANYTHING...!
 
Hata Bob Marley alikuwa mvuta bangi lakini kichwa.Nimemsema huyu kwa vile yeye hakujificha lakini wapo wengi wa namna hiyo hata wewe unawajua



sio bangi tu nadhani wanyakyusa wengi wana matatizo ya akili
 



huyu mr 2 ana elimu gani ? isije ikawa tunamdiscus chizi
 
Aiseee baba yangu kile kabao cha wananita sugu nani wananita sugu nani wananita sugu sugu sugu ndio kinagongwa huku rombo na watu wanacheza si mchezo wameziba masikio hawataki kusikia kelele za magamba

napata mbege kiulaini

ningekuwa kwenye PC Ningekugongea LIKE mkuu. Kula mbege na hiyo ki2!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…