Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,671
- 11,339
Huyo Kijana hana jina?? Gamba @ work,serikali hii itapata kichapo hapa hapa duniani + wachumia tumbo wote wa mabwepande!
2015 anarudi mtaani huyo, ubunge ndio asahau kabisa. Bangi na siasa wapi na wapi.
2015 anarudi mtaani huyo, ubunge ndio asahau kabisa. Bangi na siasa wapi na wapi.
Matola
mbona unataka kuanza kuchafua ukumbi tukianza mashambulizi msikimbile kudai watu wapigwe ban; muulizeni huyo chizi wenu ana athuthibitishie kama serikali inahusika, yeye si yupo kwenye bunge mwambieni aend the Hague akapeleke malalamiko yake fb haiwezi kusaidia chochote; Dr. Ulimboka kapona yupo huru kusema kilichomtokea; sisi tunajua wauji wapo Chadema wala hilo halina ubishi. Na hao ndio waliotumiwa ili kuipaka serikali matope;
Chama
Gongo la mboto DSM
Hata Bob Marley alikuwa mvuta bangi lakini kichwa.Nimemsema huyu kwa vile yeye hakujificha lakini wapo wengi wa namna hiyo hata wewe unawajua
(Joseph Mbilinyi
‎...na kwa suala la dr ulimboka kutekwa na kuteswa na serikali...rais kikwete na serikali yake moja kwa moja wanaingia kwenye orodha ya tawala za afrika na dunia zilizotumia UTESAJI au kwa kiingereza TORTURE dhidi ya raia wanaopingana kimtazamo na mwenendo wa serikali zao...na kwa bahati mbaya kwao ni kuwa, watawala wa aina hii hukumu zao ni hapa hapa duniani kama ilivyotokea kwa ghadafi, mubarak, charles taylor na wengine waliohukumiwa kama sio na umma basi na ICC-The Hague...Unlike · · Share)
Sugu ni Rais wa Mbeya anayebisha aende Mbeya leo akaulize,Mbeya inakuwa Dubai kama mchezo vile...kudadadeki!!
Aiseee baba yangu kile kabao cha wananita sugu nani wananita sugu nani wananita sugu sugu sugu ndio kinagongwa huku rombo na watu wanacheza si mchezo wameziba masikio hawataki kusikia kelele za magamba
napata mbege kiulaini
show ya juzi ya dar live iliyofanywa na sugu na vinega hukuiskia??[/QUOTE]
Msamehe bure tu. Player hater