Mh. John Magufuli aiteka Same, UKAWA waweweseka

Mh. John Magufuli aiteka Same, UKAWA waweweseka

Mr Chin

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
4,625
Reaction score
1,024
[h=3]
12088101_911298185573590_8278190569914769861_n.jpg
[/h]
12074689_911298198906922_8987802895148575330_n.jpg


11224415_911298268906915_855547176532533019_n.jpg


Hali inaendelea kuwa mbaya kwa UKAWA baada ya Mheshimiwa John Magufuli alipo tinga Same na kuiteka kwa sera zenye mshiko. Wakazi wa Same kwa kauli moja wamesema sasa kura zao zote watampa Mh. Magufuli maana sera zake ni za ukweli na zinazingingatia kujenga nchi na sio maslahi ya watu binafsi.

Wakazi wa Same walisema pia, Mh. Magufuli ndie chaguo bora kwa Tanzania maana ana sifa za Urais na kazi zake kama Waziri wa Ujenzi zinaonekana.

Na Mr Chin
 
Kwa uongo mliotengeneza mkutano wa moshi, siwaamini ccm kwa chochote mtakacho post wala kutamka, nahisi inafanya kazi kweny magazeti ya uhuru na mzalendo.
 
Kwa uongo mliotengeneza mkutano wa moshi, siwaamini ccm kwa chochote mtakacho post wala kutamka, nahisi inafanya kazi kweny magazeti ya uhuru na mzalendo.

Lowassa Kwisha habari yake.
 
Back
Top Bottom