Mh hii Kali

Hahahaha!!! nimecheka sana jamani,,,, siku mpwa wako CYBERTEQ akituma tu hiyo msg no 10 inamfaa..
 
Last edited by a moderator:
Hahahaaa, hapo ndiyo utaniambia ni nani na nani huwa wanakutumia msg za mapenzi mpaka mimi mumeo unimix!..lol

Ndoa ili idumu lazima ma best man wawepo ku cover makosa yako......
 
mamaaaaaaa huyo no 10 noma saaana... me moyo wangu wa kichina huu naulizwa "nani mwenzangu" nazimia hapohapo..
 
siku nikijibiwa namba 10, aisee namtahiri huyo mwanamke kwa mara ya pili!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…