Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,272 Reaction score 96,398 Feb 7, 2014 #21 Munkari said: Tatizo la wanaume wengine neno nakupenda kwa mkewe ni nadra sana ndio sababu ya majibu hayo! Click to expand... Afu wewe. Nikikukamataaaa!!!
Munkari said: Tatizo la wanaume wengine neno nakupenda kwa mkewe ni nadra sana ndio sababu ya majibu hayo! Click to expand... Afu wewe. Nikikukamataaaa!!!
tinna cute JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 4,630 Reaction score 2,310 Feb 7, 2014 #22 Hahahaha!!! nimecheka sana jamani,,,, siku mpwa wako CYBERTEQ akituma tu hiyo msg no 10 inamfaa.. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
jebs2002 JF-Expert Member Joined Sep 3, 2008 Posts 11,014 Reaction score 10,679 Feb 7, 2014 #23 Hii safi kweli mkuu,,,
KOKUTONA JF-Expert Member Joined Jan 29, 2011 Posts 8,651 Reaction score 6,109 Feb 7, 2014 #24 Elli said: CC: @kyakomuhona KOKUTONA Mamndenyi Paloma Aine Ennie hahahahaaaa bila kuwasahau wapwa zangu wapendwa MANI Mentor hebu nadhani hii inawahusu pia CYBERTEQ na tinna cute Click to expand... It is just one word of love, lakini guumu kweli mkutoka miyoni na midomoni wa watu. Ila mimi huwa nasemaga na huwa naambiwaga pia, nina bahati eti Elli Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Elli said: CC: @kyakomuhona KOKUTONA Mamndenyi Paloma Aine Ennie hahahahaaaa bila kuwasahau wapwa zangu wapendwa MANI Mentor hebu nadhani hii inawahusu pia CYBERTEQ na tinna cute Click to expand... It is just one word of love, lakini guumu kweli mkutoka miyoni na midomoni wa watu. Ila mimi huwa nasemaga na huwa naambiwaga pia, nina bahati eti Elli
KOKUTONA JF-Expert Member Joined Jan 29, 2011 Posts 8,651 Reaction score 6,109 Feb 7, 2014 #25 Asprin said: Afu wewe. Nikikukamataaaa!!! Click to expand... Alafu weweeeeee
Peter jaluo JF-Expert Member Joined Nov 10, 2013 Posts 1,750 Reaction score 253 Feb 7, 2014 #26 Big up mkuu
CYBERTEQ JF-Expert Member Joined Feb 11, 2012 Posts 7,341 Reaction score 4,074 Feb 8, 2014 #27 tinna cute said: Hahahaha!!! nimecheka sana jamani,,,, siku mpwa wako CYBERTEQ akituma tu hiyo msg no 10 inamfaa.. Click to expand... Hahahaaa, hapo ndiyo utaniambia ni nani na nani huwa wanakutumia msg za mapenzi mpaka mimi mumeo unimix!..lol
tinna cute said: Hahahaha!!! nimecheka sana jamani,,,, siku mpwa wako CYBERTEQ akituma tu hiyo msg no 10 inamfaa.. Click to expand... Hahahaaa, hapo ndiyo utaniambia ni nani na nani huwa wanakutumia msg za mapenzi mpaka mimi mumeo unimix!..lol
life is Short JF-Expert Member Joined Apr 1, 2013 Posts 4,741 Reaction score 3,037 Feb 8, 2014 #28 ludoking said: Mie naona namba 4 na 5 ndiyo kiboko kujibiwa na mke wako hivyo Click to expand... Dear you made my whole week !! Asante....
ludoking said: Mie naona namba 4 na 5 ndiyo kiboko kujibiwa na mke wako hivyo Click to expand... Dear you made my whole week !! Asante....
tinna cute JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 4,630 Reaction score 2,310 Feb 8, 2014 #29 CYBERTEQ said: Hahahaaa, hapo ndiyo utaniambia ni nani na nani huwa wanakutumia msg za mapenzi mpaka mimi mumeo unimix!..lol Click to expand... Ndoa ili idumu lazima ma best man wawepo ku cover makosa yako......
CYBERTEQ said: Hahahaaa, hapo ndiyo utaniambia ni nani na nani huwa wanakutumia msg za mapenzi mpaka mimi mumeo unimix!..lol Click to expand... Ndoa ili idumu lazima ma best man wawepo ku cover makosa yako......
Dejane JF-Expert Member Joined Jan 1, 2014 Posts 51,001 Reaction score 72,284 Feb 8, 2014 #30 Hahhahha
M MSHATI Member Joined Jan 23, 2014 Posts 7 Reaction score 0 Feb 9, 2014 #31 mamaaaaaaa huyo no 10 noma saaana... me moyo wangu wa kichina huu naulizwa "nani mwenzangu" nazimia hapohapo..
mamaaaaaaa huyo no 10 noma saaana... me moyo wangu wa kichina huu naulizwa "nani mwenzangu" nazimia hapohapo..
excel JF-Expert Member Joined Jul 8, 2011 Posts 22,434 Reaction score 17,862 Feb 9, 2014 #32 siku nikijibiwa namba 10, aisee namtahiri huyo mwanamke kwa mara ya pili!