Mh membe leo anaongoza harambee ya ujenz wa kanisa kasulu kigango cha murubona.tayari ameishafka. Ibada karibia inaanza. Nitawajuza kadiri nilivyojaliwa na mungu kile kinachoendelea
Ameongea mengi. Alialikwa na fr. Deus kwa kushrikiana na mh. Machali. Katoa 50 milioni. Cash kalipa mil 11.1<zikiwemo za machali 1.1 milion>. Mh jk kamtuma awaeleze aman. Wakristo tuwe wavumilivu.wanaovunja amani watashugulikiwa na dola.tusichoke kuish kwa aman. Mh membe na rais jk walienda vatican 2008.papa alitaka kujua amani ya tz ilivyo. Jumla ya harambee ni 71 milion. Cash milion 28,laki 5. Amemsifu machali alivyomshawish kuja kuendesh harambee. Alitaka achange 5 mil bila kuja ksulu. Wao machali na paroko walimtaka aje muda wowote atakaotaka ili aje na sh. 5mil. Ameamua aje mwenyewe na kuongeza pesa kwa kushrikiana na marafiki wake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.