NgomaNgumu
Senior Member
- Nov 20, 2010
- 194
- 24
Pamoja na perfomance ya utendaji kazi wa mtu, mavazi ni moja ya vipambo wakti mwengine vinamsaidia mtu kukubalika ktk hatua za mwanzo. Ndio! kama kwenda kwenye interview ya kazi ukavaa suti.
Nimemuona Mh makinda ktk picha tofauti lakin naomba mniruhusu niseme kua kwa vazi lile la leo la hijabu ambalo lipo michuzi wakati akihudhuria mazishi ya mbunge wetu aliefariki, limempendeza sana. Ni afadhali akabakei kule
Nimemuona Mh makinda ktk picha tofauti lakin naomba mniruhusu niseme kua kwa vazi lile la leo la hijabu ambalo lipo michuzi wakati akihudhuria mazishi ya mbunge wetu aliefariki, limempendeza sana. Ni afadhali akabakei kule