jeipm
JF-Expert Member
- Sep 28, 2018
- 500
- 821
Siku zote wahenga wanaendeleza kusisitiza 'dalili ya mvua ni mawingu" Kwenye suala la ndoa, kigezo moja wapo ambacho mwanamke anatakiwa awenacho ni UVUMILIVU
Mchunguze kupitia hii kitu
-mwanamke anapofanikiwa kupata mtoto wa kwanza
1. Mchunguze namna gani anamjali mtoto
-kutojali hisia za mtoto ( unakuta mtoto analia, yee yupo tu anafanya mambo yake
-hawezi kubembeleza mtoto(yaaani yale majonjo ya kubembeleza kwa moyo wa ukarimu na huruma hakuna )
-Upenda sana kumkaripia mtoto mfano, yaani wewe unapenda kujiliza Liza (kumbuka hapo hajamtaja kwa jina lake)
-utanguliza neno WE- wakati wa kuita jina la mtoto mfano, we-saidi, we-agnesi, we-jovin, we-mwajuma au we-baraka
-kutozingatia usafi na kumstiri mtoto
Hapa unakuta katoto kamekojoa au kajisaidia muda ila mama yake hajui chochote kumuhusu (yuko bize na mambo mengine)
-hana utashi wa kumfundisha mtoto mambo mapya , mfano kuita mama au baba, chai, uji, by, shikamoo, n.k
Ukiona una mwanamke dizaini hii jiandae kupata sifuri kwenye tabia na mienendo ya wanao
Mchunguze kupitia hii kitu
-mwanamke anapofanikiwa kupata mtoto wa kwanza
1. Mchunguze namna gani anamjali mtoto
-kutojali hisia za mtoto ( unakuta mtoto analia, yee yupo tu anafanya mambo yake
-hawezi kubembeleza mtoto(yaaani yale majonjo ya kubembeleza kwa moyo wa ukarimu na huruma hakuna )
-Upenda sana kumkaripia mtoto mfano, yaani wewe unapenda kujiliza Liza (kumbuka hapo hajamtaja kwa jina lake)
-utanguliza neno WE- wakati wa kuita jina la mtoto mfano, we-saidi, we-agnesi, we-jovin, we-mwajuma au we-baraka
-kutozingatia usafi na kumstiri mtoto
Hapa unakuta katoto kamekojoa au kajisaidia muda ila mama yake hajui chochote kumuhusu (yuko bize na mambo mengine)
-hana utashi wa kumfundisha mtoto mambo mapya , mfano kuita mama au baba, chai, uji, by, shikamoo, n.k
Ukiona una mwanamke dizaini hii jiandae kupata sifuri kwenye tabia na mienendo ya wanao