Aisee kazi kweli.
Maana watu wa nchi jirani walikuwa wanaanza kuja kuchukua mzigo baada yakusikia mgomo umeisha.
Mara wakija wanakuta tena yale yale.
Mombassa wanapanua bandari yao,sasa kuna kipindi itafika watu wataona bora waende kenya kuchukua mzigo nakukuta soko la hapa linashuka kwa kasi au wanagawa Customers.Hatime serikali kukosa mapatao.
Wangefanya kama Francis cheka tu,piga kifungo cha nje huku watu wanaendelea na yao,ila hii panda shuka hii ina hatari zake kwa taifa