V vstephen Member Jan 14, 2011 11 3 Feb 3, 2012 #1 mgomo wa madktari serekali inatakiwa iwasikilize madaktari ili kuoka maisha ya wagonjwa
Power G JF-Expert Member Apr 20, 2011 3,886 1,193 Feb 3, 2012 #2 Unategemea serikali gani itakayowasikiliza madakatari wakati imedai bungeni kwamba hali nzuri na hakuna mgomo?
Unategemea serikali gani itakayowasikiliza madakatari wakati imedai bungeni kwamba hali nzuri na hakuna mgomo?
Inkoskaz JF-Expert Member Nov 6, 2010 6,372 2,374 Feb 3, 2012 #3 nchi hii hakuna haki mpaka uandamane au ugome au utoe rushwa.kikifanyika kimojawapo watamaliza mgomo