Mgomo wa mabasi ya abiria Singida!

Mgomo wa mabasi ya abiria Singida!

thom71

Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
36
Reaction score
9
Kuna mgomo wa mabasi ya abiria yapitayo Singida! Tunatembea kwa mwendo wa harusi kwa kufuatana tokea Mwanza tutapofika Singida nitawajuza vizuri maana inasemekana dereva mwenzao alipigwa na askari hadi kuvunjwa mkono hapo njiani Singida
 

Attachments

  • 1403955498745.jpg
    1403955498745.jpg
    97 KB · Views: 196
  • 1403955552441.jpg
    1403955552441.jpg
    55.3 KB · Views: 157
Wasafiri mliopo safarini barabara hiyo wakati huu poleni sana
 
Hawa nao wajinga tu! Sasa abiria wanekosa nini? Abiria na sisi tugome, tuyapige moto hayo mabasi yanayotunyanyasa!
 
lete story nini kimeendelea
 
Back
Top Bottom