Kuna mgomo wa mabasi ya abiria yapitayo Singida! Tunatembea kwa mwendo wa harusi kwa kufuatana tokea Mwanza tutapofika Singida nitawajuza vizuri maana inasemekana dereva mwenzao alipigwa na askari hadi kuvunjwa mkono hapo njiani Singida
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.