SOGHOO
JF-Expert Member
- Mar 25, 2015
- 1,268
- 568
Sheria za nchi lazima zifuatwe. Safari hii serikali isikubali kuyumbishwa na wahuni wachache. Mmiliki akigoma fungia yeye leseni halafu leta bus la jeshi wakati mabasi mengine yanaagizwa china au kenya au brazil au afrika ya kusini na matajiri wenye uchungu na Tanzania. Wamiliki hawa uchwara wajue kwamba kuna watu wana mihela imekaa tu wanatafuta investment opportunities kama hizo. Kova hakuna tena kusema wamiliki oyeee. Mtu anagoma toa basi lake UBT funga leseni.