Mgomo wa daladala jijini Mwanza

Na mgomo wa leo ni wa kisayansi, sijaona polisi na mabomu wala nini, watu wametelekeza hiace katikati ya barabara, wakasepa zao. Mulongo jipange upya baba

Mabatini mabomu yameisharindima .... chezea polisi wewe!!! Wakiamrishwa huwa hawatafakari,
 
hahahahahaha,napenda watu wanaokubali ukweli na kuwa kama wewe,nunua king'amuzi ndugu yangu,utatuchosha vidole kukufafanulia na mengine outomatic kujulikana.
 
Mabatini mabomu yameisharindima .... chezea polisi wewe!!! Wakiamrishwa huwa hawatafakari,

Nimeshapandisha bugando mkuu hata sijui kinachoendelea hapo kati
 
Mabatini mabomu yameisharindima .... chezea polisi wewe!!! Wakiamrishwa huwa hawatafakari,

Nimepandisha bugando mkuu hata sijui kinachoendelea hapo kati
 

Mmhhhh....2m au 200m? If the later tunaomba mchanganuo
 
Mimi binafsi leo nimepata taabu ya mwaka wakati nilipokuwa mjini na gari langu ndogo. Barabara ya kutoka mjini kuja Nyakato na ya Nyerere Road haipitiki. Kuna Mabus mengi yamesimama Nyerere Road tangu saa mbili asubuhi yakielekea Musoma, Sirari, Bariadi hakuna njia ya kupita. Watoto wanalia na hakuna njia ya kuwasaidia. Magari makubwa yamesimama njia nzima ya barabara ya Nyerere hakuna kupita. Wanaoenda Bugando kwenda kuona wagonjwa hakuna njia ya kupita. Pote pamezibwa na magari yaliyosimama njiani. Tunamwomba Mkuu wa Mkoa yeye ni mgeni, unapoingia kwenye mji wa watu kwanza uliza watu wa pale na baadaye achukue uamuzi. Uamuzi alioufanya ni wa kukurupuka na italeta madhara makubwa na atayajutia.
 
Bosi hufatilii taarifa za habari zinazoonyesha muheshimiwa mkuu wa mkoa maagizo anayoyatoa?
Nafikiri hakutakiwa kufanya hiki alicho kiagiza wala haifikirii Mwanza ya kesho.Pia kwa wamachinga ni changa la macho.Sisiti kuhisi baada ya uchaguzi mkuu vurugu za mgambo wa jiji na wamachinga zitarejea upya.Maana city Centre kwa sasa imekuwa ni vurugu tupu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…