jewellery dealer
Member
- Apr 12, 2017
- 28
- 20
Mabasi za mwendokasi muda huu walifungiwa geti na wananchi wenye hasira kali baada ya kusubiria mabasi za mwendokasi kwa zaidi ya lisaa....wananchi waliimba "Tunamtaka Makonda" polisi waliishia kuangalia tu mabasi za mwendokasi zimezuiwa nje ya geti