Mgomo mpya wa aina yake chuo kikuu cha st. John's Dodoma

Mgomo mpya wa aina yake chuo kikuu cha st. John's Dodoma

Joined
Aug 1, 2013
Posts
31
Reaction score
3
Wiiki mbili zilizopita baada ya wanafunzi wa chuo kikuu cha St. john's kugoma mnamo tarehe 19,Novemba,2014.Wanafunzi hao wameanza tena mgomo leo hii tarehe 4, Desemba,2014 baada ya Rais wa serikali ya wanafunzi, Bw. Daniel Damian na Waziri mkuu wa serikali yake kutangaza mgomo mpya baada ya kero ambazo zilisababisha mgomo hou kushindwa kutatuliwa.MGOMO HUO unatarajiwa kuisha kesho Ijumaa tarehe 5,Desemba,2014 saa 6 adhuhuri mbele ya waziri mkuu au Waziri wa Elimu. Mgomo huu umeanza baada ya wahadhiri pia kuanza mkutano usio na kikomo (EXTENDED MEETING) kushinikiza uongozi wa chuo hicho kuwalipa ujira wao.CHUO HICHO KINACHOMILIKIWA NA KANISA LA ANGLICAN KINAKABILIWA NA MATATIZO KEDEKEDE. HIVYO MGOMO WA wanafunzi hao utasaidia walimu kulipwa mshahara wao na hata kero lukuki za wanafunzi kutatuliwa kikamilifu.Kufuatia mgomo huo,serikali ya wanafunzi imetuma ujumbe kwa wanafunzi wote kuwa ;
hakuna mwenye ruhusa ya kuonekana mazingira ya chuo hicho mpaka hapo keshoo. JE NINI HATIMA YA ELIMU YETU WATANZANIA??.
JIBU TUNALO WENYEWE!!!
 
wazee someni hizi changamoto zipo kila sehemu.Nilisomaga UDSM siku naripoti ilimkuwa mgomo hadi naondoka ni migomo ila nikiangalia bado changamoto zipo.umeenda shule kusoma soma the kupitia hizo changamoto unaweza ukajapata ajira
 
Hivi vyuo binafsi navyo vinatia aibu,humlip mtu pesa hayo mamilion wanapeleka wap?
 
Back
Top Bottom