Mgomo mkubwa wanukia nchini


huyu jamaa kavimbiwa pesa za ufisadi sio bure.
 
Last edited by a moderator:

nakwambia hakika huyu jamma anaetetea ufisadi uendelee, hataki kusikia wananchi wanufaike na huduma kuboredhwa, ni fisadi na amevimbiwa pesa za usidi. Hawezi kujitoa ufahamu kiasi hicho bila kuwa na maslahi. Sasa jiandae kisaikolojia
 

mbona unaihofia sana chadema wewe. Ahaa nimegundua wewe ni fisadi. Sasa icu inanukia na inakunyemelea wewe uliyevimbiwa pesa za ufisadi.
 

umeongea vema sana mkuu. na inatakiwa wafanyakazi wakigoma na raia tuunge tela...huo muziki wake utakuwa si mchezo!
 
Reactions: BAK
Wishful thinking.

Chadema baada ya kula virungu mara kwa mara na migomo yao huko nyuma sasa wamekuja na njia mpya kuwarubuni wengine.

Tumeshtukia.

idiotic thinking....

je, kama wafanyakazi wanarubuniwa na chadema wagome je, ni nani anayeirubuni serikali yako ya CCM isiboreshe maslahi ya wafanyakazi pamoja na mazingira ya kufanyia kazi?
 
Last edited by a moderator:
Wewe mleta mada kumbuka kuwa Rais Kikwete ni kiongozi mwenye busara kubwa sana kuliko unavyodhani!!! Tayari amewachukua shemeji zake (walimu) atakaa nao pale Ngurdoto kwa siku kadhaa za uchaguzi wa cwt hivyo kufanikiwa kuliteka jeshi kubwa la wafanyakazi!! Hakuna mgomk hapa!!! TUGHE NA TALGWU wakiendelea na tabia hij ya kutishia bila kung'ata mgomo tanzania nj historia!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…