Mgomo mkubwa wanukia Ijumaa

Abiria wa Mwanza - Dar itakuwa ni siku mbili.
 
Natumaini watakumbuka kuongelea kwanini wanaendesha vibaya na kukimbiza, kuovateki ovyo bila kujali usalama wa abiria bali kuua tu.

Tena waanze kushtakiwa na kufungwa.
 
ijumaa siyo mgomo ni mkutano wa madereva wote na viongozi wa juu na idara zao za serikali. ila wasipofika hao tunaowahitaji kujibu hoja zetu na kuafikiana basi hapo ndo mgomo utakapoanzia

Sasa kama ni mkutano wa madereva wote huoni tayari ni mgomo? Ni chombo gani cha usafiri kitakua barabarani?
 
Fast jet inahusika hapa kwa safari ya dar mwanza au mbeya kama gari itatembea speed 80 kwa saa, kwa kilomita zaid ya elfu moja huyo dereva baada ya miez michache mgongo utakuwa ushajaa maji na itakuwa unaichosha gari haraka hasa upande wa machine maana bus yenye speed zaid ya mia ishirini kuanza kuitembeza umbali mrefu hivyo na speed ndogo ni kuuwa mashine kiujumla na ata ulaji wa mafuta unakuwa mkubwa
 

Mkuu kama chanzo cha ajali ni hilo shimo hapo barabarani basi magari yote yanayopita hapo yangepata ajali. Huyo kiongozi aache kutetea uzembe Hawa madereva huwa wanafanya mambo ya hatari mno wakati mwingine
 
Mhhhhh! Ngoja niahirishe safari yangu ya Dar-Mwanza!
 
Mkuu kama chanzo cha ajali ni hilo shimo hapo barabarani basi magari yote yanayopita hapo yangepata ajali. Huyo kiongozi aache kutetea uzembe Hawa madereva huwa wanafanya mambo ya hatari mno wakati mwingine

Mkuu sio swala la kubishania kuhusu ile ajali ya bus la majinjah wangeanza na mkandarasi anaesimamia kile kipande cha bara bara manake shimo ni kubwa na lipo kwenye mteremko ulionyooka! Dereva akijikosea aakaweka mkasi kati akikuta shimo anakata hoze pale.

Ndio kilichotokea pale na mara baada ya ajali tu ndio lile shimo lilizibwa nadhani na wanajeshi walioko kwenye kambi maeneo yale.

Sent from JamiiForums
 
Utakuwa hauli pweza sasaaa

Mchina hao Pweza, Ngizi, Chaza na takataka nyingine zote za bahari anaweza kuwa anaziimoprt tu it's a matter of time tu. As long CCM ikiendelea kuwa madarakani products za wavuvi wetu zitaendelea kuwa optional tu.
 
Mchina hao Pweza, Ngizi, Chaza na takataka nyingine zote za bahari anaweza kuwa anaziimoprt tu it's a matter of time tu. As long CCM ikiendelea kuwa madarakani products za wavuvi wetu zitaendelea kuwa optional tu.

Haahaaaaa…… what can we do about CCM??
 
ijumaa siyo mgomo ni mkutano wa madereva wote na viongozi wa juu na idara zao za serikali. ila wasipofika hao tunaowahitaji kujibu hoja zetu na kuafikiana basi hapo ndo mgomo utakapoanzia

mkutano ulikua tar 5 labda kama kuna mwingine.
 

madai yao yana umuhimu
 

Mkuu huna taarifa kwani?!mbona tuko kwenye mgomo siku nyingi tu....
 

Maboso, niliondoka Dar j5 last week kuelekea BKB, Ubungo tuliondoka saa 12asubuhi. Ilibidi tulale Igunga kwani tulifika hapo saa tano usiku. Saa 12 asubuhi the next day tukaendelea na safari na kufika BKB saa 10unusu jioni! On my way back nikapitia MZA ambapo safari tumeianza saa 12asubuhi, na hivi sasa saa nane ndo tunaingia SNGD, inachosha sana.
 
Wakigoma nayo njaa haitagoma,wacha wagome tuone kama njaa haitawarudisha tena njiani.Watakuwa wanajigomea wao wenyewe na familia zao,njaa lazima itawarudisha tena barabarani,na ikizingatiwa hawa madereva wana michepuko kila mahali.
 

hapo ndipo panaponiuma,,,,walimu wamekuwa hawana msimamo kana kwamba elimu aliyonayo haimsaidii,,,wewe unalipwa 630000/= kabla ya makato wakati kuna watu wanakula mamilion ya shilingi kila siku,,,,,hakuna malalamiko ya walimu yanayofanyiwa kazi,,,,,na ni walimu hawa hawa na vikofia vyao vya CCM kuongoza kuwapigia debe sisiem,,,,,,,,Aaaaaaaggggghhhh,,,,ngoja nikanywe viroba vyangu mie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…