Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Habari zilizoingia kwangu jioni hii ni kwamba Mgombea ubunge wa CCM wa Musoma Mjini Vedasto Maninyi leo saa kumi jioni amekaribishwa kwa mawe na wanafunzi wa Sekondari ya Musoma alipojipeleka pale kunadi sera zake. Ilibidi aondoke haraka yeye na wapambe wake bila kuhutubia mtu yoyote.
Wanafunzi walisikika wakisema hapa anaingia Dr wa ukweli tu, au wagombea wa chama chake na si sura nyingine yoyote Hizi habari ni za uhakika kabisa.