tonicimmobility
JF-Expert Member
- Jun 17, 2025
- 493
- 1,038
Soma pia: Chama cha ADA TADEA chatangaza wanawake na wenye ulemavu watakaojitokeza kugombea watachukua fomu bure
Mgombea wa urais kupitia Tiketi ya chama cha ADA TADEA Georges Bussungu akiwa na mgombea mwenza Ali Makame Issa baada ya kuchukua fomu ya kugombea Katika ofisi za Tume huru ya Taifa ya uchaguzi walijiunga na kikundi cha ngoma ya Kabila la Kigogo ikiwa ni furaha na Hamasa ya mbio za kuingia Ikulu.
Mgombea huyo wa chama cha ADA TADEA anakuwa ni miongoni mwa wagombea Urais saba waliochukua fomu mpaka sasa ambaye ameweka wazi moja kati ya vipaombele vyao ni pamoja na kutengeneza uchumi wa njano wakimaanisha matumizi bora ya Teknolojia.
Mgombea wa urais kupitia Tiketi ya chama cha ADA TADEA Georges Bussungu akiwa na mgombea mwenza Ali Makame Issa baada ya kuchukua fomu ya kugombea Katika ofisi za Tume huru ya Taifa ya uchaguzi walijiunga na kikundi cha ngoma ya Kabila la Kigogo ikiwa ni furaha na Hamasa ya mbio za kuingia Ikulu.
Mgombea huyo wa chama cha ADA TADEA anakuwa ni miongoni mwa wagombea Urais saba waliochukua fomu mpaka sasa ambaye ameweka wazi moja kati ya vipaombele vyao ni pamoja na kutengeneza uchumi wa njano wakimaanisha matumizi bora ya Teknolojia.