Mgombea urais UKAWA

Mgombea urais UKAWA

Joined
Jun 25, 2015
Posts
23
Reaction score
5
Macho & masikio ya Watanzania ( wana CCM & upinzani) yako Dodoma kuona na kusikia Chama cha Mapinduzi kinapitisha jina lipi katika kinyanjiro cha kwenda Magogoni.

Mimi hili halinipi hofu maana mchakato unahusisha chama kimoja tu, ila wasiwasi wangu upo katika kusamabaratika kwa Umoja unaojiita UKAWA.

Kwa maana sidhani kama Wana CUF bara na Zanzibar watakubali kipenzi chao Mh. Professor Ibrahim H. Lipumba asiwanie nafasi nyeti ya Urasi kwa elimu yake aliyonayo halafu abaki anaelea elea tu na wakati katika mikutano yake wafuasi wa CUF wanamuita kuwa ndiye Rais.

Kwa upande mwingine CHADEMA sidhani kama wanaweza kukubali mgombea nafasi hiyo nyeti hasitoke ndani ya Chama hicho wakati wanaimani wao ndiyo chama cha upinzani chenye nguvu kubwa na watu makini.

Wakati huo tayari NCCR-MAGEUZI wao wana sumu moyoni kwa kutoridhika na mgawanyo wa majimbo katika nafasi ya Ubunge.

Najua nitapata comments za mashambulizi ila ukweli ni kwamba UKAWA upo katika wakati mgumu sana katika nafasi ya urais na ukilinganisha kuwa viongozi wa vyama hivyo hawajawahi kuachia Madaraka ya Umwenyekiti na wengine wametengua vifungu vya katiba zao ili waendelee kuwa Wenyeviti wa miaka mingi zaidi.


@ Hakuna Mpango Kazi Mkubwa Duniani Kama Binadamu kupangilia Maisha Yake Mwenye@
 
Watakuja...ninavyofahamumm ukawa siyo chama cha siasa...
 
Unapoteza muda......fuatilia mambo ya ccm kwanza usiwe papara subiri mchakato. Hata sheikh yahaya alisema kuna mgombea urais atakufa lakini badala yake alikufa yeye
 
Acha uongo ww,mbona Lipumba ameshaweka wazi kuwa kwa mtazamo wake ktk Ukawa yy anaona anafaa kuiwakilisha lakini pia asipochaguliwa yy atakae chaguliwa atamuunga mkono!!unadhani kuanzishwa kwa ukawa watu wamekurupuka tu from nowhere?? Labda ww ndo umekurupuka kuja kupost...
 
UKAWA wamejipaga vizuri sanaaa.kimya wanawachora tu maccm.
 
Hakuna cha Ukawa sasa kinaitwa uwawa ... Kila MTU anataka madaraka mnajisumbua bure kuumiza vichwa vyenu
 
Macho & masikio ya Watanzania ( wana CCM & upinzani) yako Dodoma kuona na kusikia Chama cha Mapinduzi kinapitisha jina lipi katika kinyanjiro cha kwenda Magogoni.

Mimi hili halinipi hofu maana mchakato unahusisha chama kimoja tu, ila wasiwasi wangu upo katika kusamabaratika kwa Umoja unaojiita UKAWA.

Kwa maana sidhani kama Wana CUF bara na Zanzibar watakubali kipenzi chao Mh. Professor Ibrahim H. Lipumba asiwanie nafasi nyeti ya Urasi kwa elimu yake aliyonayo halafu abaki anaelea elea tu na wakati katika mikutano yake wafuasi wa CUF wanamuita kuwa ndiye Rais.

Kwa upande mwingine CHADEMA sidhani kama wanaweza kukubali mgombea nafasi hiyo nyeti hasitoke ndani ya Chama hicho wakati wanaimani wao ndiyo chama cha upinzani chenye nguvu kubwa na watu makini.

Wakati huo tayari NCCR-MAGEUZI wao wana sumu moyoni kwa kutoridhika na mgawanyo wa majimbo katika nafasi ya Ubunge.

Najua nitapata comments za mashambulizi ila ukweli ni kwamba UKAWA upo katika wakati mgumu sana katika nafasi ya urais na ukilinganisha kuwa viongozi wa vyama hivyo hawajawahi kuachia Madaraka ya Umwenyekiti na wengine wametengua vifungu vya katiba zao ili waendelee kuwa Wenyeviti wa miaka mingi zaidi.


@ Hakuna Mpango Kazi Mkubwa Duniani Kama Binadamu kupangilia Maisha Yake Mwenye@

Sasa wewe ngedere unawasemea UKAWA kwani wewe ni msemaji wa UKAWA? acheni viherehere utaolewa wewe mwanaume acheni siasa za maji taka
 
Wewe mbwa mbona na wewe unapenda kuisemea CCM kwan wew n msemaji wa CCM?usipende kumlopokea mwenzako kwa kumuita ngedere wew n MBWA wa mbowe
 
Kweli ngumi ya kurudishiwa inauma nyie mbona mnapenda kuiongelea ccm kila kukicha mbona ccm hawalalamiki wew umepigwa kidole kidogo unaruka jee kingeingia chote MBWA WOTE MNAOMTUKANA MWENZENU
 
Kweli ngumi ya kurudishiwa inauma nyie mbona mnapenda kuiongelea ccm kila kukicha mbona ccm hawalalamiki wew umepigwa kidole kidogo unaruka jee kingeingia chote MBWA WOTE MNAOMTUKANA MWENZENU
Mkuu hawa bavicha wanakera sana, ila wasamehe bure, wengi wao kichwani hamna kitu
 
Back
Top Bottom