GE2025 Mgombea Urais na Makamu wa Rais kupitia NCCR-Mageuzi wachukua fomu ya uteuzi

GE2025 Mgombea Urais na Makamu wa Rais kupitia NCCR-Mageuzi wachukua fomu ya uteuzi

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
Mgombea Urais wa Tanzania kupitia tiketi ya Chama NCCR- Mageuzi, Haji Ambar Khamis akiwa ameambatana na Mgombea mwenza, Everylin Munisi, amechukua fomu ya Urais katika Tume Huru ya Uchaguzi Jijini Dodoma leo August 15, 2025 huku akiahidi kuwa endapo Watanzania watamchagua kuwa Rais atahakikisha ndani ya siku 100 tangu kuapishwa kwake Tanzania inapata Katiba mpya.

Khamisi, mwanasiasa mkongwe, aliahidi kurejesha heshima ya Chama hicho kama ilivyokuwa 1995 chini ya Agustino Mrema.

 
Mgombea wa Kiti cha Urais pamoja na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha NCCR-Mageuzi, Haji Ambari Khamisi, wachukua fomu ya uteuzi katika ofisi za Tume Huru ya Uchaguzi leo Agosti 15,2025.

Mwishoni mwa mwezi Machi, NCCR-Mageuzi kilimteua Haji Ambari Khamisi kuwa mgombea wake wa urais, akishirikiana na Joseph Selasini kama mgombea mwenza.

Khamisi, mwanasiasa mkongwe, aliahidi kurejesha heshima ya Chama hicho kama ilivyokuwa 1995 chini ya Agustino Mrema.

Nccr yq Mama Tanzania au ya dalali 30?
 
Back
Top Bottom