Mtiania wa urais Zanzibar kupitia chama cha AAFP, Said Soud Said (kushoto), akikabidhi fomu za kuomba kuteuliwa kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jaji George Joseph Kazi, wakati wa kurejesha fomu hizo katika ofisi ya ZEC, Maisara, Unguja, Zanzibar leo, Septemba 10, 2025. Picha na Jesse Mikofu
Soma pia
Soma pia
- GE2025 - Mgombea Urais Zanzibar kupitia chama AAFP: Msajili afute vyama vinavyoashiria fujo
- GE2025 - Said Soud: Hakuna Chama chenye uwezo wa kuiangusha CCM
- GE2025 - Mgombea AAFP: Nitaruhusu kilimo cha bangi kukuza uchumi, Walevi lazima wakate Leseni
- GE2025 - Said Soud: Nikiwa Rais Vijana wataoa kwa pesa ya serikali