Mgombea urais 2015 atinga Vatican

Bernard Camilius Membe hafai kuwa Rais wa Tanzania kwa sasa! Labda baada ya miaka 30 ijayo!!!
 
Magazet mengine ni ya udaku tu mbona hawataji jina lake au ni mbinu ya kuuza zageti ...uongo mtupu.

Sure... Hata mie naona Mtanzania la Rosti Tamu l'Azizi linataka soko tu. Nawashangaa wanalolisoma! Na ukiona hivyo, waziri huyo aliyesemwa bila kutajwa jina, ni mpinzania wa Lowassa katika safari hiyo ya Ikulu!
 
Mmeanza siasa zenu chafu​ zakupakana matope kisa kwenda ikulu inajulikana hayo magazeti yalinunuliwa kwa nia moja yakuwachafua wapinzani wa JK na mlifanikiwa kwa kiasi kikubwa kuwandama na kuwachafua Salim na Sumaye.

Sio lazima mbinu hiyo ifanikiwe na safari hii,mambo yanabadirika na wakati, hizo ni propaganda za Bashe dhidi ya Membe kama alivyodhihirisha kule Dodoma kwa kumpiga vita lakini mwisho wa siku Membe akashinda.

Hiyo safari ya Vatican uenda kweli ilikuwepo lakini isiwe na uhusiano wowote na mambo ya uchaguzi ujao,ila kwa vile Lowasa kila akilala na kuamka anaota urais,tafsiri ya chochote anachokisikia anahisi ni cha kuhatarisha dhamira yake hofu yakuusarandia urais.

Kwa usongo mliokuwa nao dhidi ya Membe hamgekosa picha za safari na vielelezo vya magari 24 yanayodaiwa kutoka Uarabuni.

Inaonekana kama vile TB Joshua alishamhapisha Lowasa kuwa rais wa Tanzania.
 

Sasa kaficha kitu gani hapo hata mtoto mdogo anafahamu!
 
Kama amekwenda vatikani kupata upako ni haki yake ushauri wangu kwa wapinzani wake ni kwamba nao waende ili wakapimwe kama wana sifa njema ya kutuvusha hapa tulipo jikwaa.

Wengi wanenda kwa TB Joshua na kupewa maji!

 
Huyu waziri atakuwa anatoka mikoa ya kusini.

 
Hivi kati ya hawa wafungwa Wa kisiasa ndani ya CMM, Lowassa na Membe nani mwenye mvuto na uwezo Wa kuongoza nchi?
 

Wengine walienda kwa TB Joshua kama picha hapa chini inavyoonyesha


 
Reactions: jme
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…