Mwanamwana
Platinum Member
- Aug 1, 2011
- 9,604
- 22,713
Mgombea wa Ubunge jimbo la Nyasa, Cuthbert Ngwata amepata ajali baada ya dereva wake kuingia porini na kusababisha kifo cha muhamasishaji nyanda za juu maarufu kama Nindi auvPompi kutoka Mbozi Mbeya ambaye alikuwa huko Nyasa kikazi.
Ngwata na dereva wake wamejeruhiwa na wako hospitali wilaya ya Nyasa kwa matibabu lakini taarifa zisizo nzuri zinasema kuwa mgombea huyo yuko njiani akihamishwa hospitali ya Litembo kutokana na hali yake kuwa mbaya baada ya kukata kauli.
Inasemekana chanzo cha ajali ni kuwa walikutana na watu wenye silaha za moto na wakati wakijaribu kujiokoa dereva aliyumba na kuingiza gari kwenye korongo.
[h=2][/h]

Ngwata na dereva wake wamejeruhiwa na wako hospitali wilaya ya Nyasa kwa matibabu lakini taarifa zisizo nzuri zinasema kuwa mgombea huyo yuko njiani akihamishwa hospitali ya Litembo kutokana na hali yake kuwa mbaya baada ya kukata kauli.
Inasemekana chanzo cha ajali ni kuwa walikutana na watu wenye silaha za moto na wakati wakijaribu kujiokoa dereva aliyumba na kuingiza gari kwenye korongo.
[h=2][/h]
