Mgombea mwenza wa Magufuli, Samia Suluhu

Mgombea mwenza wa Magufuli, Samia Suluhu

kwetu mtama

Senior Member
Joined
Feb 5, 2015
Posts
160
Reaction score
25
Mh magufuli amemchagua bi samia suluhu kuwa mgombea mwenza kwa kuzingatia uswa wa kijinsia, uzanzibar na kubalance chama kupata kura upande wa zanzibar....vuai hussein mwinyi bilal kwaher...ila majian na mambo yanavyotokea ni hali ya kustajabisha kidogo maaana ni km accidentally! !!
 
ilikuwa ya amina hiyo, sema kujielezea, uoga na aibu zimemuangusha
 
Magufuli just lost my vote,a woman?hatua moja tu awe rais. Hell no!Now I am considering UKAWA again.
 
Mh magufuli amemchagua bi samia suluhu kuwa mgombea mwenza kwa kuzingatia uswa wa kijinsia, uzanzibar na kubalance chama kupata kura upande wa zanzibar....vuai hussein mwinyi bilal kwaher...ila majian na mambo yanavyotokea ni hali ya kustajabisha kidogo maaana ni km accidentally! !!

Its a strategic move! Kura za kinamama na wazanzibari zishakwapuliwa..
 
Back
Top Bottom