Obugwa Izoba
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 10,466
- 11,641
Chadema chama cha majanga! Yaani vituko vya ajabu ajabu kila kukicha. Hivi mkipewa dola si itakuwa balaa. Imekuwa vizuri chama kimekufa kabla ya kuchukua dola maana tungejuta
Kada wa CHADEMA DAUDI NTINONU leo majira ya saa sita mchana nusura ampige risasi Kiongozi wa Vijana wa Mkoa wa Geita aitwaye Neema Chozaile.Ntinonu ambaye alikuwa ameongozana na Diwani viti mahalumu wa Nyamagana Bi Neema Mafuma na Elikana Paschael ambae ni mtumishi wa Mwenyekiti wa CHADEMA kanda ya Ziwa Magharibi, mala tu baada ya kushuka katika gari la CHADEMA aina ya Ford ranger lenye no CDA 156 katika ofisi za jimbo la geita waliingia ofisini na kuanza kumtupia maneno makali ya uzalilishaji na kisha Ntinonu akatoa Bastola yake yenye rangi nyeusi na kutaka kumfyatua Neema.
Chanzo cha mzozo huo ni mambo ya kusikitisha kwani imebainika kuwa Ntinonu na Peter Makere[mkt Kanda] wanatumiwa na Kada wa CCM aitwaye Mabina ambaye ni ndugu wa Ntinonu na mtia nia waubunge CCM kutengeneza mtandao Jambo ambalo Kamanda Mawazo[mkt mkoa] na Viongozi wa Jimbo la geita akiwemo Rogers na Neema CHOZAIRE wamekuwa wakilipinga,ukurasa huu umebaini kuwa Diwani Neema Mafuma ni awala wa Peter Makere ambaye amekuwa akimtumia kutengeneza taarifa za uongo na kisha kusema kuwa ni maagizo ya dr. SLAA.
========================================
kada wa chadema daudi ntinonu leo majira ya saa sita mchana nusura ampige risasi kiongozi wa vijana wa mkoa wa geita aitwaye neema chozaile.
Ntinonu ambaye alikuwa ameongozana na diwani viti mahalumu wa nyamagana bi neema mafuma na elikana paschael ambae ni mtumishi wa mwenyekiti wa chadema kanda ya ziwa magharibi, mala tu baada ya kushuka katika gari la chadema aina ya ford ranger lenye no cda 156 katika ofisi za jimbo la geita waliingia ofisini na kuanza kumtupia maneno makali ya uzalilishaji na kisha ntinonu akatoa bastola yake yenye rangi nyeusi na kutaka kumfyatua neema.
Chanzo cha mzozo huo ni mambo ya kusikitisha kwani imebainika kuwa ntinonu na peter makere[mkt kanda] wanatumiwa na kada wa ccm aitwaye mabina ambaye ni ndugu wa ntinonu na mtia nia waubunge ccm kutengeneza mtandao jambo ambalo kamanda mawazo[mkt mkoa] na viongozi wa jimbo la geita akiwemo rogers na neema chozaire wamekuwa wakilipinga
========================================
katika ndoa hamukosi kukwaruzana hivyo Basi ni jambo la kibinadamu hilo,watu lazima watofautiane mawazo, lakini cha ajabu hawatumii njia za busara katika kutatua Matatizo ya kichama na utofauti wa mawazo.Chadema chama cha majanga! Yaani vituko vya ajabu ajabu kila kukicha. Hivi mkipewa dola si itakuwa balaa. Imekuwa vizuri chama kimekufa kabla ya kuchukua dola maana tungejuta
kanye urelease tension we gamba ushuzi!!CHAGADEMA ni chama cha wauwaji, sishangai kutolewa kwa hiyo bastola, ni kawaida yao!
Huyo kada wa zamani wa CCM amezoea kuonga na kutumi vitisho vya CCM. Huku kwingine ni hoja. Hana Hoja analeta vituko vya CCM. Abadilike au arudi kwenye chama chenu cha mauaji.CHAGADEMA ni chama cha wauwaji, sishangai kutolewa kwa hiyo bastola, ni kawaida yao!