Familia moja nchin kenya imeangamia baada ya mgororo uliodumu kwa mda. baba mwenye nyumba baada ya kupandwa na mori. alichukua acidi na kuwamwagia wanawe wawil.
Baada ya hilo alichukua acid na kumwagia mkewe na baadaye naye akajimwagia. walikimbizwa hospital lakin bahat mbaya wote walikufa.sasa familia nzima haipo tena.