Mgogoro kutokea UKAWA


Mimi nimeamua chukua point za msingi, ni lazima tujue misingi ya chadema na sio ya Lowasa ccm ilitakiwa ng'oka bila EL kumuingiza EL ni udhaifu mkubwa sana ulionyeshwa na ukawa tena kwa only ten B bora ingekuwa bure kuliko kununuliwa
 
Mimi nimeamua chukua point za msingi, ni lazima tujue misingi ya chadema na sio ya Lowasa ccm ilitakiwa ng'oka bila EL kumuingiza EL ni udhaifu mkubwa sana ulionyeshwa na ukawa tena kwa only ten B bora ingekuwa bure kuliko kununuliwa

Kama Lowasa ni dhaifu makelele ya nini? Si ni faida kwako na magamba yote kwa ujumla! Usitufundishe kupanga safu yetu! Kapangeni ya kwenu! We are able to read the message between the lines! Go Lowasa go!
 
Kama Lowasa ni dhaifu makelele ya nini? Si ni faida kwako na magamba yote kwa ujumla! Usitufundishe kupanga safu yetu! Kapangeni ya kwenu! We are able to read the message between the lines! Go Lowasa go!

Ya kwetu ipi u r likely to be less understanding u better ask what I mean
 
You mean nothing! If coming of Lowasa to UKAWA is good for CCM, why not celebrating and campaign less?

Ain't ready to argue with rot I thought it's a room for great thinkers my bad
 

Mtabiri wa magamba.
 

Very cheap indeed
 
Kuna watu hawana hoja wana panic instead wanaishia kutoa matusi
 
Tatizo la kunywa uji mchana full kusinzia ukikurupuka ndo unaandika kama haya. Lowasa ndo chaguo letu na ndo njia sahihi ya kuiondoa ccm madarakani
 

Haina shida tutampa ivyi ivyo maana aliye madarakani ni mbaya zaidi ni bora kijaribu kwa lowasa kuliko kubaki na CCM
 

Kama cdm imewasaidia ccm kuendelea kushika dola sindyo furaha yenu! Mbona tena unalialia hapa, na toka lini ccm wakawa washauli wa cdm...
 
Mwaka wa mavuno.Wale ambao hawajawahi vuna mwaka huu ni wao.Sifa ni kujua kuandika na kuonyesha uwezo wa kufanya uongo uonekane ukweli.
 
Hivi sheria ya makosa ya mtandao (cyber crime act) imeishaanza kufanyakazi kweli?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…