MGENI MPYA AMBAE NAPENDA UTANI KWA SANAA YANI HADI NAJICHUKIA NAOMBA USHIRIKIANO WENU.

Nurudin Jr

Senior Member
May 25, 2017
180
99
Jamani husikeni na kichwa cha habari hapo juu ,Mimi ni member mpya ambae ni mcheshi sana hadi nasahau sehemu zakuwa serious natania so mnivumilie na mnikumbushe mkiniona napuyanga ili nirudi katika msitari na pia wale warembo msiniogope kunifata PM maana nipo single so msisite na nyie kaka zangu tukutane katika post tu maybe itokee dharula ndo tutataftana PM,

Asanteni sana naomba ushirikiano wenu.
 
'mcheshi'
Tuambie ni jambo gani umewahi kujichekesha!!!
 
Back
Top Bottom