Hivi ukisikiliza wimbo ule kweli unakuwa na hamu na hiyo jinsia kweli?..makubwa!Wana JF mie nipo mbari saaaaaaaaaana na vituo vya burudani sehemu nilipo labda mzizimkavu ndio anaweza fika maana yeye hutafuta mizizi ya tiba mbadala. Naomba mwenye link iwe youtube, daliymotion au yeyote ile ya huu wimbo wa Mgeni ulioimbwa na John Komba na kundi zima TOT. wimbo huu hunikuna sana hasa shooting yake we acha kabisa lile toto lenye nguo nyekundu likitikisa tikisa ule u---ja. Nisaidieni niweze download huku nilipo niburudike mwenzenu...Mgeni amekwenda kukaaa chumbani, chumba cha baba na mama, mgeni ameumwaga upupu baba na mama wanajikuna------
bhageshi said:Wana JF mie nipo mbari saaaaaaaaaana na vituo vya burudani sehemu nilipo labda mzizimkavu ndio anaweza fika maana yeye hutafuta mizizi ya tiba mbadala. Naomba mwenye link iwe youtube, daliymotion au yeyote ile ya huu wimbo wa Mgeni ulioimbwa na John Komba na kundi zima TOT. wimbo huu hunikuna sana hasa shooting yake we acha kabisa lile toto lenye nguo nyekundu likitikisa tikisa ule u---ja. Nisaidieni niweze download huku nilipo niburudike mwenzenu...Mgeni amekwenda kukaaa chumbani, chumba cha baba na mama, mgeni ameumwaga upupu baba na mama wanajikuna------
Hivi ukisikiliza wimbo ule kweli unakuwa na hamu na hiyo jinsia kweli?..makubwa!
bhageshi said:Sio hamu mkuu, ila inakuwa upupu huo na ndio maana nauomba nione upupu ulivyo
Mh, mi nadhani suala hapa si upupu kuna lililofichika nyuma ya pazia,
Hahahahaaaaaaaa!!! I'm just kidding...
duh, kwa hiyo mkuu ule ujumbe wa wimbo haukugusi kabisaaaaaaaaaaa...ila hilo toto lenye nguo nyekundu ndio unalitaka kuliona linavyotingisha.......kweli kupambana na huyu mgeni ni kazi.