Mgeni huku jamani!!

Karibu sana zingatia sheria zote za hapa
-Peleka uzi husika kwenye jukwaa husika, mfano swala la siasa hautakiwi kulipeleka kwenye jukwaa la mahusiano au jukwaa la hoja na habari mchanganyiko ili upate wachangiaji.
-Hairuhusiwi matusi (tafsida inaruhusiwa) kumdhalilisha au kumbagua member mwenzio, kufanya hivyo hupelekea ban.
-Marufuku kuleta mazungumzo uliyofanya pm jukwaani hii hupelekea ban.
-Ukihisi umemjua mtu anayetumia fake id, usiliseme hilo pale pale mfuate pm, kumtaja hapo hapo hupelekea ban.
-Marufuku kuandika kama upo FB au kufupisha vitu bila sababu mfano 'S' kuiandika 'X' hivyo sasa kua xaxa, au 'tu' kuiandika 'tyu'. Utanikera na utatukera wengi.
-Kuanzia leo nakubatiza jina la Mkuu, ukiitwa mkuu usishangae, sawa mkuu?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…