ndugu yangu Kipipi , wajua sisi tupo karibu na shamba la umeme , ivyo haukati ovyo mpaka kipindi cha mgao , sasa mgomo ukianza ka mashine kangu ka kusaga hakata fanya kazi ntakosa pesa ya kulisha watoto
Pande za huku morogoro manispaa umekatika jana saa moja jioni na kurudi saaa tano usiku, basi hii ilikuwa nchi nzima. Hebu watupashe ni mgao au kulikuwa na tatizo la kufundi kama sio ugaidi??