andrew tezie
Member
- Jan 25, 2014
- 13
- 2
Kwa namna mambo yalivyo katika Bunge la Katiba ni wazi kwamba zoezi hili limekwisha ingia dosari.Uzinduzi wake ulionekana kuwa wa kichama zaidi badala ya kubeba sura ya kiserikali,na huo ndio ulikuwa mwanzo wa kuharibika kwa zoezi zima.Je kwa namna mambo yalivyo tunategemea Katiba ijayo kuungwa mkono au kutuletea mpasuko?